Serikali ya Japan ilitoa kiasi cha asilimia 60 ya gharama za ujenzi hii ikiwa ni kiasi cha Yen bilioni 13.5, hii ilikubaliwa wakati Raisi Mubarak alipoitembelea Japan mwezi Machi mwaka 1995, kama sehemu ya kuendeleza mkono nchi wa Sinai. Misri nayo ilichangia kiasi cha asilimia 40 yaani Yen bilioni 9, zilizobaki. Na daraja likafunguliwa mwezi Oktoba mwaka 2001.
Je.daraja la Suez Canal ilizinduliwa mwezi upi?
Ground Truth Answers: OktobaOktobaOktoba
Prediction: